
Basi la Kwanza lipo Nakatunga, na la pili lipo K9-Ngara.
La tatu nimelipita Karagwe! Magari hayo hufanya Safari zake kati ya Bujumbura -Burundi na Kampala-Uganda.
Yameharibika, zaidi ya Miezi 6 na hakuna jitihada za wazi zinazoonekana kuyashughulikia. Wasiwasi ni kwa Wananchi wa maeneo yalipoegeshwa Mabasi hayo…… Kulikoni?
