POLISI JAMII BODABODA RULENGE WASHUKA DIMBANI LEO KWA MAANDALIZI YA MTANANGE DHIDI YA MURUSAGAMBA
Timu ya Polisi Jamii Bodaboda Rulenge leo, Julai 14, 2026, inatarajiwa kushuka dimbani kupambana na White Horse katika mchezo wa…
Read MoreMASHINDANO YA POLISI JAMII KUTIMUA VUMBI NGARA HADI JULAI 25
Mashindano ya Polisi Jamii yanatarajiwa kuendelea kutimua vumbi katika Wilaya ya Ngara hadi Julai 25, 2026, yakihusisha timu mbalimbali kutoka…
Read MoreHERI YA SIKUKUU YA SABASABA KWA WAKULIMA WETU
Na, Juventus Juvenary-Ngara. Sikukuu ya Sabasaba ni kumbukumbu muhimu ya mchango wa biashara, uzalishaji na ubunifu katika kukuza uchumi wa…
Read MoreSHANGWE ZA SIMBA SC MITAA YA DAR ES SALAAM
Ni Baada ya kubeba Kombe la CRDB. Wapiga paredi ya nguvu
Read MoreWATU WA NGARA NA ZAMANI ZAO
Ndugu mwana Ngara ulipenda kusikiliza nyimbo gani kupitia Redio Kaseti hii? Tuandikie maoni
Read MoreMHESHIMIWA BAHEMU AFANYA ZIARA NGARA FARMERS
Aitaka Ngara Farmers kutanguliza maslahi ya wananchi na wakulima mbele katika utekelezaji wa majukumu yake. Aahidi kuongeza nguvu katika kutatua…
Read MoreBAHEMU AUNGA MKONO POLISI JAMII CUP, ATOA VIFAA VYA MICHEZO NGARA
Na, Juventus Juvenary-Ofisi ya Mbunge Jimbo la Ngara. Leo, Julai 3, 2026 – Mbunge wa Jimbo la Ngara, Mheshimiwa Dotto…
Read MoreMENEJA WA TRA AHUKUMIWA KUFUNGWA GEREZANI MIAKA 20
Mahakama ya Hakimu mkazi mkoa wa Kigoma imemhukumu kifungo cha miaka 20 gerezani aliyekuwa Meneja wa TRA Wilaya ya Kibondo,…
Read MoreUTAMU WA MAISHA YA KIJIJINI
Maisha ya kijijini yana mvuto na utamu wake wa kipekee. Licha ya maendeleo ya teknolojia na miji kukua kwa kasi,…
Read More