NGARA YAPATA GARI LA ZIMAMOTO

By Na Mwandishi Oct 22, 2025

Hii ni Habari njema kwa Wananchi wa Ngara baada ya kupata Gari la Zimamoto.

Uwepo wa Gari hilo ni habari njema kwani litasaidia kuokoa maisha ya wananchi na mali zao pale yanapotokea majanga ya moto.

Ifahamike kuwa Wilaya ya Ngara ipo mpakani mwa Nchi mbili za Rwanda na Burundi ikiwa na Mipaka ya Rusumo Mugoma Kabanga na Murusagamba ambako zinafanyika Biashara mbalimbali.

This website stores cookies on your computer. These cookies are used to provide a more personalized experience and to track your whereabouts around our website in compliance with the European General Data Protection Regulation. If you decide to to opt-out of any future tracking, a cookie will be setup in your browser to remember this choice for one year.

Accept or Deny